- Je, wewe ni aina ya mtu ambaye ana mpango mkubwa lakini kamwe haelekei kufika popote na mpango huo?
- Je, huwa unfanya maazimio mwanzoni na baadae huyapuuza kabisa?
- Labda wewe huhisi kama maisha ni njia moja na wewe huwezi kukaa kwenye njia hiyo ili kuyafikia?
Kama unaweza kuhusiana
na yoyote kati ya maswali hayo, Basi makala hii ni kwaajili yako.
Hakuna
shaka katika akili yangu kwamba ubongo wa binadamu una baadhi ya utaratibu wa “MFUMO
WA KUTAFUTA LENGO” Thumuni letu la
kwanza na lengo kuu bila shaka, ni kuishi: Hivyo, Tunahitaji chakula cha
kutosha, maji na angalau namna ya makazi na baadhi ya mahitaji muhimu.
Katika
siku hii na umri huu, ni vigumu kwa mtu yeyote kuwa na upungufu mkubwa wa chakula
na maji, angalau katika jamii ya magharibi au kwa mtu yeyote ambaye ana uwezo
wa kusoma makala hii. Kwa
sababu hiyo, hatufikirii sana kuhusu kuishi tu badala yake tunaweka malengo
mengine kwa kwaajili yetu kuhusu maisha bora ya siku za usoni.
Yaweza kuwa ni malengo tija, malengo ya michezo au hata malengo ya kifedha. Vyovyote yawavyo ni muhimu kwetu kuwa nayo.
Yaweza kuwa ni malengo tija, malengo ya michezo au hata malengo ya kifedha. Vyovyote yawavyo ni muhimu kwetu kuwa nayo.
Katika
makala hii nataka kuangalia sababu kuu nne za watu kushindwa kufikia malengo
yao. Natumaini
kwamba baadhi ya pointi hizi zinaweza kusaidia kuamsha ari yako ambapo unaweza kuwa
umekwenda vibaya.;
Kupunguza Imani;
Wakati mwingine, ninaposhindwa
kuyafikia mambo ninayoyataka kwenye maisha, ni kwasababu tu kuwa siamini kama
naweza kutikiza matamanio yangu. Inawezakuwa ni kwa sababu marafiki zangu
wananiambia kuwa siwezi kufanya kitu au imani yangu mwenyewe inayoegemea kwenye
uzoefu wa zamani. Kwa namna yoyote ile, nitajikuta nakubaliana na marafiki
zangu pamoja na imani yangu kwa kukubali kushindwa.
"Kama unafikiri kwamba unaweza, au kwamba
huwezi, kwa kawaida uko sawa" - Henry Ford
Kama ukianza kwa kuwa na mashaka juu uwezo wako mwenyewe, itakufanya ufike mbali kwa kukata tamaa kwa mpango wako na kisha uendelee na mabo mengine. Njia nzuri ya kuyavuka mpaka huu ni kwa kutafuta watu waliofanikiwa baada ya kuipitia njia hiyo kama unavyoipitia wewe.
Kuchagua Lengo
baya;
Kusema kuwa
umechagua lengo baya hakupaswi kutumika kama kisingizio cha kuwa mvivu au
kutafuta njia rahisi ya wewe kukata tamaa. Kuchagua lengo baya kuanzia
kuzungumziwa pale tu utakapoamua kweli kuchagua lengo baya. Lengo baya huja
katika njia tofauti tofauti kama vile;
- Kujaribu kufanya jambo kwa sababu tu watu wamekuambia.
- Kufanya Jambo ili kuwafurahisha wengine,Kulenga jambo ambalo hujali kama unaweza kulitimiza au la,
- Kuwaiga wengine kwa sababu tu unadhani kuwa wako kwenye njia sahihi.
Kuna mifano zaidi
ya hii, lakini haya ni baadhi ya tu ya mabo ya kawaida. njia
nzuri ya kupata lengo sahihi kwa ajili
yako ni kuchukua kalamu na karatasi na kuanza kuandika mambo yote ungependa
kufikia. Kama
utafanya hivi kwa adabu na kwa muda kiasi, kutakuwa na kitu ambacho kitasimama,
kitu ambacho utahisi ni sahihi. Hili pengine ni lengo sahihi
kwako.
Kukosa
Msimamo/Subira;
Mara baada ya kuamua
juu ya lengo lako, basi usikubali kitu chochote kukaa katika njia yako. Yawezekana
wakati mwingine kukutana na vikwazo vya kimaisha kama ambavyo ni lazima
itakutokea, lakini baada ya kuyashughulikia, hakikisha unarejea kwenye njia ya
kulifikia lengo lako.
Lazima ufahamu
kuwa wakati unaendelea kupambana ili kufikia mafanikio ya lengo lako, kuna
maisha mengine yanaendelea, hivyo changamoto za hapa na pale hazifai kukuondoa
kwenye lengo lako, zishughulikie, na uendelee mbele.
Kuna Hakuna
"Hatua nyingine," kama Hakuna “Mpango wa Utekelezaji”
Baadhi ya watu hujipangia
tu lengo na kuliacha hivyo. Ni
jambo ambalo wanaliweka nyuma ya akili zao na huchukua hatua wakati wakikumbuka.
Hakuna
haja ya kuwa na lengo kama huna mpango wa utekelezaji kwa ajili yako mwenyewe
au angalau muda maalum ambao ungependa kukamilisha.
Watu wenye wengi
wenye mafanikio, Kila asubuhi huipitia karatasi ambayo ina malengo ya makuu katika
maisha. Kisha
huweka mpango kazi kwa kila lengo moja linalolazimu kulifanyia kazi na
kukamilisha wakati wa mchana. Una
uhuru kidogo kama ukifanya kazi mwenyewe, lakini kanuni ya kuweka mpango pamoja
bado inatumika.
Fahamu kwa ukweli kwamba kama wewe haujaweka malengo
au maazimio kwa mambo fulani ya maisha yako, hayawezi kufika mbali na
kufanikiwa kama unavyotaka yawe.
Je, kuna kingine ambachoumepata
katika njia ya kufikia malengo yako? Ningependa
kusikia nyongeza yako katika comments!
0 comments:
Chapisha Maoni