Tabora New Hope Agency

Is aiming to improve the standard of living of the people in a community by planning on the utilization of the available resources and guiding on the implementation of the plans to achieve the best social services in Tanzania.

Tabora New Hope Agency

Is aiming to improve the standard of living of the people in a community by planning on the utilization of the available resources and guiding on the implementation of the plans to achieve the best social services in Tanzania.

Tabora New Hope Agency

Is aiming to improve the standard of living of the people in a community by planning on the utilization of the available resources and guiding on the implementation of the plans to achieve the best social services in Tanzania.

Tabora New Hope Agency

Is aiming to improve the standard of living of the people in a community by planning on the utilization of the available resources and guiding on the implementation of the plans to achieve the best social services Tanzania.

Tabora New Hope Agency

Is aiming to improve the standard of living of the people in a community by planning on the utilization of the available resources and guiding on the implementation of the plans to achieve the best social services Tanzania.

Jumatano, 30 Machi 2016

3 Uncommon Ways To Be More Positive

person-991506_1280

“It makes a big difference in your life when you stay positive.” ― Ellen DeGeneres
If you were to Google – “how to be positive” you’d come across over 1 billion results for those keywords. And If you were to Google – “how to think positive” you’d come across half the amount for those keywords.

And the average article on this topic covers common tips most of us are aware of.
In this post, I’m going to cover uncommon ways for you to be more positive in your everyday life. Practical steps that all of us can take no matter what the circumstances are.

1.Stay true to yourself. “Be yourself- not your idea of what you think somebody else’s idea of yourself should be.” ― Henry David Thoreau
Some writers will tell you to “meditate” to be or think positive. Some bloggers will suggest surrounding yourself with positive people.

Neither of them are wrong. But staying true to yourself is one of the

30 Inspiring Quotes By Rumi

IMG_7670

Rumi, also known as Mawlānā, is one of the world’s greatest poets of all time. Born in the city of Balkh, located in Northern Afghanistan, this mystical man was heavily influenced by Sufism and had a deep love for humanity. Throughout the centuries, his poems and quotes have sang to the hearts and souls of millions and millions of people…inspiring greater love, faith, comedy and humanity in the world.
 
Here are 30 of Rumi’s most inspiring quotes. 

1. “You are not a drop in the ocean. You are the entire ocean in a drop.” ~ Rumi

2. “Out beyond the world of ideas of wrong doing and right doing, there is a field. I will meet you there.” ~ Rumi

3. “Gratitude is the wine for the soul. Go on, get drunk.” ~ Rumi

4. “My religion is love. Every heart is my temple.” ~ Rumi

5. “Set your life on fire. Seek those who fan your flames.” ~ Rumi

6. “Love is the whole thing. We are only pieces.” ~ Rumi

7. “The soul has been given its own ears to hear things the mind does not understand.” ~ Rumi

8. “When the world pushes you down to

5 Reasons We all Deserve Forgiveness

By  

How to Forgive
Forgiveness is often misunderstood. We tend to think that forgiveness can only be given to others when they hurt us or cause us pain. You say, “It’s okay.
 
I forgive you” and then it’s over. Chapter closed. In reality, though, forgiveness is a much more complex concept.
First of all, granting forgiveness is not just a matter of mere words. Truly forgiving someone happens within. It doesn’t mean you forget what happened, but rather accept it and choose to move forward.

Secondly, when you are forgiving others, you’re not doing it for them. You’re doing it for you. You may hear so many people saying, “But what if someone doesn’t deserve forgiveness? What if what they did was really wrong and they didn’t make an effort to earn forgiveness?” The fact of the matter is, whether or not they deserve it, you do. You deserve to let go of that hurt, resentment, fear, bitterness, and all of other negative feelings that may prevail within you after that experience.

Also, we mustn’t forget that very often we have to forgive ourselves. This is even harder than forgiving others. But until we don’t, guilt and loneliness prevails. But if we choose to forgive ourselves, love and peace takes over, and we all deserve that in our lives.

Here are 5 reasons why we all deserve forgiveness.

1) Forgiveness allows everyone to move on:
Without forgiveness, not only are you hitting back with some sort of “mental revenge” but also, poisoning yourself. Imagine that hurt to be like a wound in your heart, and by not forgiving, you are choosing to let it be. What will happen? The wound will spread, get infected, and may even

Be The Solution, Not The Problem


shutterstock_160624754

If I were to ask you what you want in life, you might say you want more money, a better love life, or better health. That is the answer most people would give. But I want to go deeper than that.
 
What it really comes down to is happiness. We all want to live a long, happy life. But most of us don’t know how to be happy. The problem is we look for happiness in all the wrong places. Sure, money, love, and health will add to our unhappiness, but they don’t create happiness out of thin air.
We all have positive and negative aspects in our life. Which ones we focus on plays a huge role in how happy we feel. People with a negative mindset are part of the problem. They make their own life more difficult, but they also make the lives of others more difficult. I encourage you to become part of the solution for yourself and those around you.

Accept Responsibility
This section is going to talk about accepting responsibility for your situation in life. Yes, it is true that there are things that happen that are beyond our control. But most of us could be

5 Things to Remember When you’re about Give Up




There are times when despite our hard work, optimism and good intentions, we fail to make progress on our goals. All of our efforts seem wasted. We lose hope in our abilities.
We become demotivated and angry. In this negative state of mind, we persist with less than enough vigor and enthusiasm, our efforts become half-baked and the result we crave continues to elude us. When this happens, it’s easy for us to lose hope and want to give up, telling ourselves, maybe I’m not carved out for this after all.

I’ve been there. But for me, giving up wasn’t an option. So I learn to turn thing around and see them from different perspectives. I learn that there are always other aspects we’ve not considered, other possibilities we’ve failed to see, a different way of thinking we’ve not allowed ourselves to explore.
If you’ve ever considered given up on something you shouldn’t be given up on, then you might want to keep this 5 things in mind.

1.You’re still in control
When things are not turning out as expected, it’s easy to leave the reigns of control to circumstances, to feel as though you’re at the mercy of some unseen forces. But the truth is, there is no

Kutafuta Pesa Ni Kama Mchezo, Cheza Ufurahie Maisha



Ndugu na rafiki yangu, sina hakika na hali yako kiuchumi kwa sasa iko je, unaweza kuwa na hali nzuri kiuchumi au hali inaweza kuwa sio ya kuridhisha au unaweza kuwa na hali mbaya kabisa. 
Watu wengi hapa Tanzania wamekuwa wakilalamika kuwa maisha ni magumu. Sikubaliani moja kwa moja na maneno hayo labda kwa shingo upande hivi naweza kukubaliana na maneno hayo. Ninachokijua mimi ni kwamba maisha ni mazuri sana tena ni marahisi sana. Mtu akisema  maisha ni magumu, ugumu  wake unasababishwa na kutokujua cha kufanya ambacho kinaweza kukuletea pesa. 
Ziko mbinu lukuki za kukuletea pesa, zina hitaji mtaji kidogo tu wakati mwingine bila hata mtaji. Kinachotakiwa ni kupata ufahamu kidogo tu wa namna ya kufanya na ukitekeleza, tayari unaanza kubadilisha maisha yako. Unaanza kuvuna pesa.
Kuna dunia mbili japo watu wote tunaishi kwenye dunia hii hii moja. Wewe unapolalamika pesa hakuna, mtu mwingine ,tena anaweza kuwa jirani yako anashangaa kuona jinsi pesa zilivyo nyingi. Kwahiyo, wewe unaiona dunia haina pesa, jirani yako anaona dunia imejaa mapesa mengi.

Kutafuta Pesa Ni Mchezo
Usitafute pesa kama unatafuta maisha. Tunajua mtu anapokuwa anaumwa huwa tuko makini kuhakikisha anapona haraka, lengo la kupona ni

Mbinu Nne Zitakazokusaidia Kuziona Fursa.


Mahali popote ulipo umezungukwa na fursa kibao. Kama hujaziona tatizo sio kwamba fursa hazipo tatizo ni macho yako hayazioni ila zipo. Katika makala hii tutajifunza namna ya kuboresha macho yako na akili yako ili upate nguvu ya kuziona fursa mahali ulipo.

Katika chapisho lililopita tuliangazia kuhusu uwepo wa fursa kwenye maeneo mbali mbali, sasa hebu tujaribu kuangalia ni kwa namna gani tunaweza kuziona fursa hizo mahali tulipo.

Hizi hapa ni mbinu nne zinazoweza kukusaidia kuona fursa zinazokuzunguuka hapo ulipo;  

Mbinu ya kwanza: Kuwa Makini (Be Aware)
Kama huzioni fursa mpaka sasa unatakiwa kuanzia leo uanze

Fursa Ziko Kila Sehemu, Je Unaziona Hapo Ulipo?


Kuna msemo usemao, “Fursa ziko kila mahali zimelala tu ovyo ovyo zikisubiri jicho la kuona zionwe”. Ndugu, najua muda mwingi umekuwa unafikiria ufanye kazi gani itakayokuletea kipato kizuri, tena ikiwezekana kwa muda mfupi. Hili sio wazo lako tu ni wazo la wengi. 
Inapofika wakati wa kuamua kuanzisha biashara au kuwekeza, shida inakuja ni biashara gani ufanye au ni kitu gani uwekeze. Kujiuliza namna ile sio dhambi, ni kawaida kabisa lakini nataka nikueleze kuwa mahali popote ulipo umezungukwa na fursa kibao. 
Kama hujaziona tatizo sio kwamba fursa hazipo tatizo ni macho yako hayazioni ila zipo.

Historia Inatusimulia Kisa Cha Kweli
Tumesoma katika historia kwamba, hapa Tanzania maeneo ya mwambao wa bahari ya Hindi hasa mikoa ya Tanga na Kilimanjaro, wazungu walowezi walikuja kwa lengo la kutafuta fursa. 
Kwa ustaarabu mkubwa hawakuvamia maeneo hayo bali waliwaona ma-chief wa maeneo husika na waliomba eneo

14 REASONS YOU ARE BORED IN LIFE

By  

bored
 
Life is a journey. ‘Live in the moment and enjoy the journey’ is what they often say. Yet, there are many who find this journey extremely burdensome, mundane, dull; to sum it all in one word- boring.
If you are one of those who doesn’t find life interesting and no longer feel excited about what your do, it’s about time you figured out what’s wrong with your life.
Here are 14 reasons why you may be bored in life.

1. You have no goals.
Goals are what get you going. It you have no goals, your goals are not challenging enough or you have outgrown your goals, you need to refresh them. Give yourself worthwhile goals that make you feel enthusiastic about achieving them. When your goals are aligned to your inner calling, you will feel excited and energized about them and would be driven to pursue them.

2. Your goals are too big for you.
When your goals are too difficult or seem out of your reach, you find the task of pursuing them daunting. You begin to consider your goals boring and are put-off by them. It is therefore important to always set realistic goals for yourself. Lower your goals if you find them too intimidating. Begin small and as you accomplish your goals, keep raising the bar higher for you. This will ensure that you never lose interest in them and keep going with enthusiasm.

3. You are pursuing too many goals at a time.
No matter how driven you are for pursuing your goals, if your work overwhelms you are you feel completely exhausted and drained out, you will not be able to enjoy the pursuit. Your progress will be slow and the goals will feel like a burden. In order to maintain your interest and remain

Epuka Kuulisha Ubongo wako Mawazo Hasi!


Ni sheria ya asili kwamba chochote kinacholishwa kinakua, na chochote kinachokosa chakula kinadhoofu na kufa.
 
Wote tumewahi kuona watoto wadogo, kadiri anavyopata chakula kizuri, yaani mlo kamili anakua vizuri na kuwa na afya bora. Lakini anapokosa chakula kizuri afya yake inakuwa dhoofu na anaweza kufariki. Sasa mawazo hasi nayo huwa yana chakula chake, na yakipata chakula hiki ya akua na kustawi sana. Ila pia yakikosa chakula hiki yanadhoofu na kufa kabisa.
 
Kama unasoma hapa unajua lengo letu kubwa ni lipi, ambalo ni kudhoofisha kabisa mawazo hasi ambayo yanatujia. Na njia pekee ya kufanya hivyo ni kuhakikisha hatuyapi chakula chake.
 
Ukweli ni kwamba huwezi kuyazuia kabisa mawazo hasi kuingia kwenye akili yako, yatakuja tu. Ila wewe una uchaguzi wa kuyalisha ili yaendelee kukua na kukutawala, au kuyanyima chakula ili yadhoofu na kufa kabisa. Sasa je huoni ni vizuri sasa ukakijua chakula cha mawazo hasi ili uweze kuyanyima chakula hiko na yafe? 

Karibu sasa ukijue chakula hiko.
Chakula cha mawazo hasi, ni mlo kamili wenye virutubisho vitatu muhimu sana kwa ukuaji wa mawazo hasi;
 
Kirutubisho cha kwanza ni KULALAMIKA. 
Pale unapolalamika kwa nini iwe wewe, kwa nini itokee kwako na mengine, hapa unayalisha mawazo hasi
na yataendelea kustawi.
 
Kirutubisho cha pili ni KULAUMU WENGINE.
Unapolaumu wengine maana yake unajitua wewe mzigo kwa jambo lolote lile, lakini hii njia ya kukusaidia wewe, itazidi kuchochea mawazo hasi.
 
Kirutubisho cha tatu ni UMBEYA. 
Kadiri unavyoshiriki kufuatilia na kusambaza mambo ambayo hayakuhusu au huna uhakika nayo, ndivyo unavyozidi kuchochea mawazo hasi na kujiweka pabaya zaidi.
 
Epuka kulisha mawazo hasi yanayokujia kwa chakula hiko, na mawazo hasi yatapotea yenyewe.
Ila kama utashiriki kwenye kuyapa mawazo hasi virutubisho hivyo, umeyakaribisha yadumu kwako.

UKWELI NI KWAMBA chakula cha mawazo hasi ni mlo kamili wenye virutubisho vya kulalamika, kulaumu wengine na umbeya. Tambua kuwa kufanya mambo hayo matatu kwenye jambo lolote unalokutana nalo ni kuchochea mawazo hasi yaendelee kuwa na wewe. Epuka mambo hayo matatu kwa uwezo wako na nguvu zako zote.
 
CHUKUA HII:
Watch out for the joy-stealers: gossip, criticism, complaining, faultfinding, and a negative, judgmental attitude. - Joyce Meyer
 
(Kuwa makini na wezi hawa wa furaha; umbeya, kukosoa, kulalamika, kutafuta makosa na mtazamo hasi wa kuhukumu).

Chakula cha mawazo hasi ni kulalamika, kulaumu na umbeya, epuka sana vitu hivyo vitatu ili kuwa na maisha bora.

Je Unaijua Talanta (Karama) Yako?

  

Unaweza kuwa unawafahamu watu wengi sana ambao wanaweka juhudi kubwa katika kufanya kitu au jambo fulani, Wanatumia ujuzi, muda, maarifa na rasilimali nyinginezo, Lakini bado hawafanikiwi!
Na kuna wengine wanafanya kitu kile kile na kwa juhudi zizo hizo na wanafanikiwa, tena kwa haraka zaidi!
Leo nimeonelea tujaribu kutafakari juu ya Talanta (Talent) au Karama jinsi zinavyohusika katika kutuletea mafanikio. Na inawezekana unajiuliza ni vipi unaweza kuijua Talanta/Kalama yako?
Naomba tujiulize maswali haya machache kisha tutapata kufahamu jibu la swali lako.

1. Ikiwa kuna maua ya rangi mbalimbali, kuna mekundu, meupe, ya njano na     kadhalika, je, ua jekundu linajuaje kama lenyewe ni jekundu na ndiyo maana linatoa maua mekundu badala ya meupe?

 2. Kuna aina nyingi sana za mimea hapa duniani, mpunga na ngano kwa kiasi fulani zinafanana, sasa, kwanini mpunga huzaa mpunga badala ya ngano na ngano huzaa ngano badala ya mpunga?

3.Umekwisha wahi kujiuliza kwanini nyuki anauwezo wa kukuuma na kukusababishia maumivu makali?, unafikiri nani alimfundisha nyuki kuuma au aliipata wapi karama ya kuuma namna ile?
4.Unafikiri nani alimfundisha nyani kuruka ruka kwenye miti? Hiyo karama ya kuruka kwenye miti aliijuaje na kwa nini asiwe kama

Jumanne, 29 Machi 2016

Ubinafsi Unazuia Maisha Ya Furaha



UBINAFSI.
Ubinafsi hasa ule wa kujifikiria sisi wenyewe pekee ndio kikwazo kikubwa kwetu kuwa na maisha ya furaha. Na hapa hatuzungumzii ule ubinafsi wa mali pekee, maana hili tu ndilo tunaloelewa kuhusu ubinafsi.

Ubinafsi wa mali unatunyima furaha, ila kuna ule ubinafsi wa kujifikiria sisi wenyewe tu, ule wa kuona maisha yetu pekee ndiyo yenye umuhimu na kuona kile tunachotaka sisi ndiyo kinachotakiwa kuwa.

Ubinafsi huu ni ule wa kujiona kwamba wewe upo katikati ya dunia na kila kitu inabidi kiende kwa mapenzi yako wewe. Inapotokea kitu kinakwenda tofauti na ulivyopanga au ulivyotegemea basi unaumia sana na kuona maisha kama hayakufanyii usawa kwa upande wako.

Huu ni ubinafsi mgumu sana kuutambua kama hutaweza kuuchimba kwa ndani. Kwa sababu huu unakuwa umejengeka ndani kabisa na unaweza kuona ni maisha ya kawaida.
Kwa ubinafsi huu kitu pekee ambacho mtu anaona ni muhimu ni kile kinachomhusu yeye. Kile kinachohusu mwili wake, mawazo yake, mipango yake ni vingine vinavyomhusu yeye. Na hata katika mawazo au maongezi yanakuwa yametawaliwa na mimi.

Kwa ubinafsi huu, linapotokea jambo ambalo liko tofauti na mtu alivyotegemea, basi mtu huyu hutaka dunia nzima isimame ili tatizo lake litatuliwe kwanza.

Huyu ni yule mtu ambaye hajawahi kuwasiliana na wewe, ila anakupigia simu akiwa na shida na anataka wewe uache kila unachokifanya umtatulie tatizo lake. Hajali kwamba wewe ulikuwa na mambo yako mengine unafanya, anataka umtatulie tatizo lake sasa, na ukishindwa kufanya hivyo lawama zote analeta kwako. Au huenda wewe ndiye mtu wa aina hiyo, unakuwa na shida na unataka kila mtu aache kile anachofanya aje kwenye shida yako, hata kama hana msaada mkubwa anaoweza kutoa. Na wakati huo huo wewe sio msaada mzuri kwa watu wengine.

Ubinafsi wa aina hii umekuwa unawanyima furaha wale wenye nao. Kwa sababu kama wote tunavyojua, hakuna kitu kinachoweza kwenda kama wewe unavyotaka, kuna mambo mengi sana ambayo yanaingilia kati kati. Na hata unapokuwa kwenye matatizo, siyo kila unayemwomba msaada atakusaidia. Unatakiwa kuelewa hilo ili unapopata msaada ushukuru na unapokosa ujue ni jambo linaloweza kutokea pia. Kwa kuwa mbinafsi kwanza utaona lililotokea halikupaswa kutokea kwako, na hata baada ya kutokea basi walishindwa kukusaidia ni maadui kwako na hawakupendi, bila ya kujali na wao walikuwa wanapitia nini.

Kwa kujifikiria wewe pekee unakosa nafasi ya kipekee ya kujifunza kupitia changamoto zako mwenyewe na za wengine pia. Unapojiona wewe pekee ndiyo muhimu unakosa mahusiano mazuri na wengine, na haya yote yanapelekea maisha kuwa ya hovyo na kukosa furaha.

Ili kuondokana na ubinafsi huu unahitaji kuacha kujifikiria wewe mwenyewe tu, anza kuwaona na wengine pia ni muhimu, jua ya kwamba mambo mabaya yanatokea kwa kila mtu na siyo kwako tu. Na pia jua kila mtu anapitia mambo magumu kama unavyopitia wewe na hivyo siyo wote wanaweza kukusaidia unapokuwa kwenye mambo magumu.

Jua ya kwamba wewe ni sehemu ndogo ya umoja wa dunia ambao ni mkubwa sana. Wewe peke yako huwezi kuikamilisha dunia na hivyo unawahitaji wengine. Unapoacha kujijali wewe mwenyewe sana, utaanza kuona maisha ya wengine nayo ni muhimu na kuangalia mchango unaoweza kutoa kwenye maisha ya wengine. Kwa njia hii utakuwa na mchango bora kwa wengine na wao kuwa na mchango bora kwako na hatimaye wote kuwa na maisha bora.

Hakuna kitu chochote ambacho kinatokea kwako tu, vitu vinatokea kwa kila mtu, ukianza kuangalia maisha ya wengine pia utaona kile unachopitia ndicho ambacho kila mtu anapitia kwa wakati wake na namba yake.

Tufanyie kazi haya tunayojifunza kwenye falsafa mpya ya maisha ili tuweze kuwa na maisha bora na yenye mafanikio makubwa na yenye furaha.

Kila kitu kinaanza na sisi, lakini ni lazima tuepuke ubinafsi kutukosesha nafasi ya kuiona picha halisi ya dunia na maisha ambayo kila mmoja wetu anapitia.

Jumatatu, 28 Machi 2016

Je Hisia Zako Zinatawala Akili Yako? Hiyo ni Hatari! Rekebisha

Kuongozwa na hisia badala ya akili ni lazima utakuwa ni mtu usiye na msimamo katika maisha yako. Leo utapanga hiki na kesho utapanga kile lakini hutatimiza hata moja au hata kama utatimiza ni kwa kuchelewa sana. 
Mambo mengi ya maana utayapuuzia kwa sababu akili haitakuwa na nguvu ya kutenda unachokitaka na badala yake hisia za wakati ule ndizo zitakazoamua nini ukifanye. Chukulia kwa mfano: Unaongozwa na hisia ya ulevi, kila utakapoona pombe lazima utakunywa tu kwa sababu akili haina nguvu yakupinga. Ukilewa, na hisia ya ulevi ikiisha unaanza kujuta kwa nini umekunywa pombe. 
Vivyo hivyo na mambo mengine utajikuta unapelekeshwa na hisia zako badala ya akili zao, hapo kufanikiwa kwako ni shida sana.

Nini Ukifanye Ili Kutibu Ugonjwa Huu?
Kuifanya akili yako iwe na nguvu kuliko hisia zako sio jambo rahisi. Ni kazi ngumu sana. Inahitaji muda na ubunifu mkubwa ili kutibu ugonjwa huu. Jiulize ni mara ngapi umejikatalia au umejinyima kufanya mambo fulani lakini bila kujua umejikuta unarudia kufanya mambo yale yale usiyoyapenda? Umetumia mbinu ngani kuishinda hali hiyo lakini mpaka sasa

3 Mistakes You Need To Avoid To Reach Your Life Goals




A phrase like “achieving life goals” sounds like an extremely important, yet complicated and time-consuming thing to do.

After all our life goals play a key role at how successful we will be in life.
If you already have big life goals – congratulations!
If not, I’m sure that you’ll find a worthy goal to pursue.
What matters right now is for you to increase your chances of success, by avoiding 3 Major Goal Setting Mistakes.


These mistakes are so sneaky that many Goal Setting courses actually teach them as a part of their achievement strategy. Yet they are so harmful, that they easily account for 80% of failed goals, unmet New Year’s resolutions and wasted Goal Setting efforts.
These mistakes make achieving life goals not only mo

11 Useful Tips On Setting Goals And Achieving Them


Sometime back, Seth Godin wrote a thought provoking post on goals. He mentioned that it’s really easy to not have goals and live in the present. But that is what most of us do.
And those who walk that extra mile, deliver, and make an impact are the people who have goals. They set goals and don’t lose sight of it till they have achieved them.
I wish we all could be like them. How many of you have kept up with your new year resolutions? It has been only few days since you made those promises to yourself. But I can bet that most of you have already given up. And that’s the thing about goals. Setting them is easy. Losing sight of them…easier.

I am not someone who achieves every goals he sets; I struggle and procrastinate too. But I have improved over the past few months. And I have realized that just thinking about a goal doesn’t help you achieve it. There are certain other factors which should be taken into consideration while setting goals and while trying to achieve them.

Here are some of the tips which I think can help us set goals and achieve them. And if you are someone who has been successful in setting and achieving goals in the past then make sure

Anga Ndiyo Ukomo wa Mafanikio Yako!

 
Hii ni Hadithi nzuri inayoweza kubadilisha siku yako
 
Kulikuwa na kijana mmoja mdogo mwenye umri wa miaka minane (8), alimwendea babu yake na kumwuliza; “Babu nataka nifanikiwe sana kwenye maisha yangu. Naomba unipe mbinu za kufanikiwa”. Babu akamwangalia mjukuu wake kwa muda kidogo bila kumjibu kitu, baadaye akamwambia “nifuate”; basi yule kijana mdogo akaongozana na babu yake kwenda kwenye kitalu cha miti.  Walipofika pale walinunua miche miwili ya miti kisha wakarudi nyumbani.

Walipofika nyumbani babu akachukua mche mmoja wa mti kati ya ile miwili waliyonunua akaupanda nje kidogo kwenye eneo la wazi karibu na nyumbani. Kwa kawaida eneo ambalo alikuwa anaishi babu huyo na mjukuu wake lilikuwa kame na linaupepo mkali sana ambao hutimua vumbi kubwa. Miti mingi mikubwa huvunjika matawi yake kutoka na upepo huo.

Mche wa pili, babu aliupanda kwenye chungu kilichojazwa udongo wenye unyevunyevu. Kisha hicho chungu akakiweka pembeni ya nyumba karibu na dirisha kwenye eneo lenye kivuli. Mara baada ya kupanda miche yote, babu akamwuliza mjukuu wake unafikiri ni mche upi utasitawi sana?. Bila kusita  kijana akasema nafikiri huu uliowekwa kwenye chungu utasitawi sana kwa sababu unaudongo wenye unyevunyeu lakini pia sio rahisi upepo au ukame kuuathiri mche huu.

Baada ya majibu hayo babu hakumjibu kitu mjukuu wake. Siku si nyingi yule kijana alianza masomo,  baada ya miaka mitatu akarudi nyumbani kwa babu yake wakati wa likizo. Siku ile walifurahi wote kuonana baada ya muda mrefu kupita, Siku hiyo waliendelea na mazungumzo yao. Yule kijana akamwuliza tena babu yake; “Babu nilikuuliza swali, mimi nataka kufanikiwa zaidi maishani mwangu nifanye nini? Kipindi kile nilikuuliza hukunijibu naomba unijibu leo basi;.

Babu akamwambia mjukuu wake twende tukaiangalie miti tuliyopanda siku zile. Wakaenda kuangalia, alichoshangaa yule kijana aliukuta ule mti walioupanda nje kwenye uwazi na kwenye eneo lenye upepo mwingi, ulikuwa umestawi sana na ulikuwa mrefu wenye afya kuliko ule mti waliopanda kwenye chungu. Uliopandwa kwenye chungu ulikuwa haujasitawi sana wala haukurefuka kama ule mwingine hata haukuwa na matawi mengi kama ule mwingine.

Kijana alishangaa sana maana alichokiona ni kinyume na jinsi alivyokuwa anafikiria. Kisha babu yake akamwambia;  “Kama unataka kufanikiwa sana ni lazima ukubali kupambana na changamoto wala usithitubutu kukimbilia kivulini. Unapokuwa kivulini anga halitakutuza tuzo bali litamtuza aliyejuu yako na wewe utabaki kwenye udongo wenye unyevunyevu lakini huna mizizi imara wala matawi yako hayatasitawi sana”.

Babu akaendelea kumwambia mjukuu wake; Umeuona ule mti tuliopanda kwenye eneo la wazi umestawi sana kwa sababu ulikumbana na changamoto nyingi sana za ukame na upepo mkali, changamoto hizo zimefanya mizizi ya mti huo izame chini sana ili kuyafikia maji mengi lakini pia ili kujilinda na upepo mkali.

Zaidi ya yote anga hukituza kitu chochote kinachosimama chenyewe kikaonekana. Kwahiyo na wewe ukitaka kufanikiwa mjukuu wangu ni lazima ujifunze kuonekana kama wewe wala usithubutu kuwa kivulini mwa mtu mwingine kwa sababu ukiwa kivulini mwa mtu mwingine atakayeonekana ni yule anayekupa kivuli na anga litampa tuzo huyo. wala sio wewe.

Kumbuka ule mti tulioupanda kwenye chungu, tuliweka udongo unaoweza kujaza chungu hicho, kwa maneno mengine tulipima udongo wenye kutosha kujaza chungu hicho lakini ule mti tulioupanda nje kwenye eneo la wazi haupimiwi udongo, udongo wote ni wake. Vivyo hivyo na wewe mjukuu wangu kama unataka kufanikiwa epuka mtu fulani kukupimia kiasi cha mafanikio yako. Mtu anayekupimia pesa anataka usisitawi sana. Kwanini usiwe huru kupata kiasi chochote cha mafanikio unayotaka bila kupimiwa? Jifunze mjukuu wangu kuwa huru kama vile mti tulioupanda kwenye eneo la wazi ulivyokuwa huru ndio maana ulistawi sana. 
 
Mjukuu wangu nataka kukuambia kwamba wanaofanikiwa zaidi ni wafanyabiashara na wajasiriamali kwa sababu hawapimiwi pesa bali wanakusanya bila kikomo. Fanya hivyo mjukuu wangu kisha utafanikiwa na siku zote ikumbuke mifano hii ya miti miwili itakusaidia sana kufanikiwa kwako. 

Yule kijana alifurahi sana majibu yenye busara ya babu yake na alimwahidi babu yake kwamba atayatenda kwa vitendo mafundisho yake.Mwisho wa hadithi.
 
Bila shaka umejifunza mengi kutokana na hadithi hii. Jitahidi uyafanyie kazi unayojifunza. 

Tunapenda kusikia kutoka kwako pia kupitia comment zako!

Makosa Makubwa Matatu Unayohitaji Kuyaepuka Hadi Kufikia Malengo Yako






Mpendwa Msomaji kupitia ukurasa huu tuliangazia chapisho lisemalo “SABABU NNE ZA KUSHINDWA KUFIKIA MALENGO” kama bado hujaisoma isome sasa.
Kupanga Malengo ni jambo pana na linalohitaji umakini wa hali ya juu sana ili kutofanya makosa katika kupanga, ndiyo maana nimeonelea niendelee kukushirikisha zaidi na zaidi kuhusu “Kupanga Malengo” . Na kama ilivyo huwa kuna makosa mengi sana ambayo huwa tunajipata tumefanya katika Kupanga Malengo yetu, Hapa nimekuwekea “Makosa Matatu Makubwa” unayopaswa kuyaepuka katika Kufikia Malengo ya maisha yako.

maneno kama "kufikia malengo ya maisha" Inaonekana kama jambo muhimu sana, Hata hivyo bado ni magumu na huchukua muda mwingi kufanya.

Pamoja na  yote malengo ya maisha yetu yanachukua jukumu muhimu katika kupanga namna ya mafanikio tutakayokuwa katika maisha.

Kama tayari una malengo makubwa ya maisha  - pongezi!
Lakini Kama sivyo, basi nina uhakika kwamba utapata lengo unalostahili kujishughulisha kwalo.

Hata hivyo kitu muhimu kwa sasa katika kuongeza nafasi  zako za mafanikio, ni kuepuka  MAKOSA MATATU MAKUBWA KATIKA KUWEKA MALENGO.

KOSA KUBWA LA 1: KUSHUGHULIKA NA MALENGO MENGI KWA WAKAT MMOJA
Kama wewe si mtu mpya katika masuala ya kupanga Malengo, bilashaka umeshawahi kusikia kuhusu kuyavunja (break down) Malengo yako katika makundi 7 tofauti: Afya, Kazi, Fedha, Familia, Elimu, Miradi ya Kiroho na Malengo Burudani.
Inashauriwa kuwa na malengo 2-3 kwa kila kundi, kukupa picha kamili ya maeneo yote ambayo unataka katika kuboresha maisha yako.

Kwa mtazamo wa kwanza, ina mantiki, lakini ushauri huu kwa kweli unaelekeza tu hatua kwa hatua katika mwongozo wa kushindwa.  Awali ya yote, kujaribu tu  kukumbuka malengo yote ni kazi inayochosha. Lakini juu ya yote kama utajiingiza katika kutekeleza japo mawili, yatakuwa hayana matokeo yenye faida. Si tu kwamba itakupa nafasi finyu kwa kugawa rasilimali chache kama muda, nguvu na motisha kati ya malengo mengi, lakini pia itakusukuma kufanya kazi kwa bidii, badala ya kufanya kazi nadhifu. Kwa nini?

Kwa sababu tu kama ubongo wetu ambambavyo haujapangwa kwa ajili ya kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja,  hauwezi kutumika kwa ajili ya kutekeleza malengo kadhaa kwa mara moja. Kama unataka kufikia malengo yoyote yenye thamani, Anza na kidogo huku ukizingatia lengo moja tu kwa wakati. Ni njia ya haraka ya kupata matokeo kubwa.


KOSA KUBWA LA 2: KUWEKA MALENGO MAKUBWA KUPITA KIASI
Malengo ya maisha kwa kawaida ni malengo makubwa, kwa maana kwamba  pia ni tata (complex), huchukua muda mwingi na ni yenye kuelemea. Na tunafanya nini na mambo tata, yenye kutumia muda mwingi na kazi nzito? Na kuyaepuka hayo ni kulenga malengo rahisi, mazuri zaidi (hata kama hayana madhara yoyote muhimu juu ya maisha yetu). Huhitaji kuwa na malengo makubwa ambayo huwezi kuyakamilisha, jambo muhimu zaidi katika lengo ni kuyabadili kutoka chanzo cha motisha kwenda katika chanzo cha kusubiria, Yavunje (break down) katika malengo madogo madogo.

Kwa mfano, tuangalie lengo lako kubwa na tufikiri jinsi gani unaweza kulivunja katika makundi madogo maalum, yanayopimika na unyoaweza kuyafikia katika kipindi cha siku 90? Kama unataka kupunguza uzito wa kilogram ‘12 mwaka ', fanya hivyo kwa ‘kupoteza kilogram 1 kwa mwezi. Kama unataka kunzisha kitu kipya, weka lengo la kutafiti, kuwasiliana na kupata mikutano na wawekezaji.

Kanuni ya zamani ya "KISS"  - “Keep It Simple, Stupid”  inafanyakazi kubwa sana wakati wa kuweka malengo!

KOSA KUBWA NAMBA 3: KUOTA KUHUSU MATOKEO MAZURI YA BAADAE
Ni muhimu kujua kwa uwazi juu ya malengo yako. Kujua hasa ambapo unataka kufika katika maisha, ambavyo unataka uwe na nini unataka uwenacho, inajenga kasi na kuongeza motisha. Hata hivyo, utafiti unaonyesha kuwa kuelekeza nguvu sana juu ya matokeo inaweza kuwa moja ya sababu kuu kwa nini ni vigumu kwetu kwa kubakia na malengo yetu.

Wana Saikolojia (Psychologists)  waligundua kuwa watu wanapo lenga zaidi kwenye matokeo, kila hatua ya njia wanayoiendea huonekana ni ngumu na haifurahishi. Kwa upande mwingine, kundi la watu likilenga katika mchakato fulani (kama kwenda kwenye mazoezi mara tatu kwa wiki) itakuwa rahisi zaidi kwao kubaki na malengo yao tena  wakiwa na motisha sana.

Kuchukua somo hili na kutumia kwa faida yako ili kufikia malengo ya maisha. Kwa sababu baada ya yote "maisha yenyewe ni safari, si marudio"!

Kupanda na Kushuka kwenye Milima ya Maisha


 


Katika kurasa zilizopita, tuliona ya kwamba hakuna mtu anaweza kuibukia kileleni. Badala yake unahitaji kupanda hatua moja baada ya nyingine ndipo ufike kileleni. Na pia tuliona safari hiyo siyo rahisi, ndiyo maana wengi huwa wanaishia njiani. 

Sasa kuna kitu kimoja ambacho hatukukiangalia kwenye kupanda mlima na kufika kileleni. Kwa sababu bila ya kukijua kitu hiki unaweza kujikuta unakata tamaa. Ni rahisi kuona kama nikikazana na kumaliza kupata mlima huu basi mambo yangu yatakuwa vizuri sana. Lakini huo sio ukweli, kwa sababu....
 
Baada ya kumaliza kupanda mlima mmoja, unakuta kuna milima mingine mingi inakusubiri upande. Siyo kwamba ukishapanda mlima mmoja basi mambo yako yamekwisha, bali unahitaji kupanda milima mingine mingi zaidi.

Hivi ndivyo maisha yalivyo, ukimaliza kufanyia kazi jambo moja, unaona kuna mengine tena ya kufanyia kazi. Ukimaliza kutatua changamoto moja, unaona kuna changamoto nyingine nyingi zinakusubiri uzitatue.
Hakuna siku utasema nimemaliza milima yote na sasa nakaa kileleni tu, kila siku kutakuwa na milima mingine ya kupanda.

Na la kuelewa zaidi ni kwamba kila mlima utakutana na changamoto zake katika kuupanda.
Haya ndiyo maisha, tangu kuzaliwa mpaka kufa kwako, ni safari ya kupanda milima. Ni vyema ukafurahia safari hizi na sio kusubiri mpaka ufike kileleni, maana kila baada ya kilele kuna mlima mwingine.
 

UKWELI NI KWAMBA ukishamaliza kupanda mlima mmoja, kuna milima mingine mingi inakusubiri kupanda. Tambua maisha ni kupanda milima, tangu kuzaliwa mpaka kufa. Jitoe kupanda milima hii na ifurahie kila safari badala ya kusubiri ufike kileleni.

CHUKUA HII:
After climbing a great hill, one only finds that there are many more hills to climb.
 - Nelson Mandela
(Baada ya kupanda mlima mmoja, ndipo unapogundua ya kwamba kuna milima mingi zaidi ya kupanda.)

Kuna milima mingi ya kupanda kwenye maisha yako, jifunze kufurahia safari na siyo kusubiri mpaka mwisho wa safari, maana hakuna mwisho mpaka utakapokufa.

Unapotaka Kuoa Au Kuolewa Je nini cha kuangalia. Sura Au Tabia?



  
Kuna msemo maarufu sana usemao "NI HERI UKOSEE KUJENGA NYUMBA LAKINI USIKOSEE KUOA AU KUOLEWA"


Karibu katika mada hii, imenibidi nikuletee mada hii kwa sababu kumekuwa na maswali mengi sana, vijana wanaotaka au waliokaribia kuoa au kuolewa kutaka kujua mke au mume wa kuoa wanatakiwa waangalie nini.

Ndoa ni taasisi nyeti sana, Taasisi hii ikiyumba basi jamii pia itayumba. tunashuhudia mambo mengi sana ambayo yanatokea kwenye jamii ambayo ni matokeo ya kuyumba kwa taasisi hii:

watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi, mmomonyoko wa maadili, umasikini, nk. Haya ni baadhi tu ya matokeo ya kuyumba kwa taasisi nyeti ya ndoa.

maranyingi kuyumba, na kuvunjika kwa ndoa hua kunahusiana sana

Jumapili, 27 Machi 2016

Tabia Na Kanuni Zinazoongoza Maisha Yako Zinazoweza Kukujenga Au Kukubomoa


“Nyimbo nzuri zinazosikika ni tamu lakini nyimbo nzuri zisizosikika ni tamu zaidi”.
 
Hayo ni maneno yake John Keats, mtunzi mashuhuri wa mashairi kutoka Uingereza. Mtunzi huyu anataka tufahamu kuwa maneno yale yanayotoka kinywani mwa mtu na kusikika si yale yaliyomo ndani ya mtu huyo, maana yale yanayotoka nje ya mtu hayawezi kumfanya mtu awe jinsi alivyo bali maneno yale yanayosema kwa sauti ya chini isiyosikika ndiyo yanamfanya mtu awe jinsi alivyo. Hali hii ni dhahiri kabisa katika maisha yetu. 
 
Mara nyingi watu wanapenda waonekane wazuri na wenye jambo jema wakiwa mbele za watu, husema kwa namna ya kujisifia katika mambo fulani fulani ili mradi tu waonekane wema. Lakini ukweli ni kwamba ndani ya watu hawa huwa kuna maneno yanayosikika kwa sauti ya chini chini  yakimsema mtu huyo jinsi alivyo, haya maneno ndiyo yanayomfanya mtu awe jinsi alivyo kuanzia tabia, sura yake, mwenendo wake wa kila siku na hali yake ya

Acha kusema nitafanya baadae


Baadaye ni njia rahisi ya kujitoa kwenye mvutano mkali unaokuwa nao sasa. Kwenye mvutano kwamba nifanye au nisifanye, njia rahisi ya kujitoa hapo ni kusema nitafanya baadaye.
 
Lakini baadaye ni mara chache sana inatokea tukafanya tulichotaka kufanya, au tukaleta mabadiliko ambayo tunataka kuleta. Baadaye tunayosema huwa haifiki na hata ikifika tunakuwa na mengine mengi na hivyo hatuchukui tena hatua.

Jikumbushe ni mambo mangapi ambayo uliwahi kusema utafanya baadaye lakini hukufanya kabisa.
Tatizo siyo kufanya sasa au baadaye, tatizo ni kwamba

Sababu nne za Kushindwa Kufikia Malengo




  • Je, wewe ni aina ya mtu ambaye ana mpango mkubwa lakini kamwe haelekei kufika popote na mpango huo?  
  • Je, huwa unfanya maazimio mwanzoni na baadae huyapuuza kabisa?  
  • Labda wewe huhisi kama maisha ni njia moja na wewe huwezi kukaa kwenye njia hiyo ili kuyafikia?

Kama unaweza kuhusiana na yoyote kati ya maswali hayo, Basi makala hii ni kwaajili yako.  

Hakuna shaka katika akili yangu kwamba ubongo wa binadamu una baadhi ya utaratibu wa “MFUMO WA KUTAFUTA LENGO” Thumuni letu  la