Tabora New Hope Agency

Is aiming to improve the standard of living of the people in a community by planning on the utilization of the available resources and guiding on the implementation of the plans to achieve the best social services in Tanzania.

Tabora New Hope Agency

Is aiming to improve the standard of living of the people in a community by planning on the utilization of the available resources and guiding on the implementation of the plans to achieve the best social services in Tanzania.

Tabora New Hope Agency

Is aiming to improve the standard of living of the people in a community by planning on the utilization of the available resources and guiding on the implementation of the plans to achieve the best social services in Tanzania.

Tabora New Hope Agency

Is aiming to improve the standard of living of the people in a community by planning on the utilization of the available resources and guiding on the implementation of the plans to achieve the best social services Tanzania.

Tabora New Hope Agency

Is aiming to improve the standard of living of the people in a community by planning on the utilization of the available resources and guiding on the implementation of the plans to achieve the best social services Tanzania.

Alhamisi, 23 Agosti 2018

Kilimo Cha Nyanya



Biashara Itakayokupatia Milioni Tano Baada Ya Miezi Mitatu

KILIMO CHA NYANYA
Ndio, kilimo cha nyanya. Tembea kila kona ya Tanzania, nyanya inaliwa kila mahali, kwa hiyo kulima nyanya utakuwa na uhakika wa kupata soko. Nyanya inastawi katika maeneo mengi nchini hivyo ukilima katika eneo ulilopo unaweza kupata mavuno mengi. Kilimo cha nyanya kinawatajirisha watu wengi, hilo nimejiridhisha nalo sina wasiwasi.
Nakushauri uanze kulima nyanya mwezi huu wa Septemba ili kufikia mwezi wa kumi na mbili uanze kuvuna na upate million tano yako.
Mimi nimeamua kulima nyanya; maandalizi ya awali yamekamilika ikiwa ni pamoja na kuandaa shamba la ekari moja, kusia mbegu za nyanya na kutafuta mbolea ya samadi, yote hayo tayari nimeyafanya; sasa  naenedela kuandaa shamba wakati mbegu zinakua.

Tukutane Mwezi Disemba Nikuonyeshe Milioni Tano Yangu
Sikutanii wala sijisifii, nataka nikuone na wewe unachukua hatua uanze kucheza mchezo wa kutafuta pesa. Sipendi kukuona ulalamika na kunyong’onyea kisa huna pesa, nataka nikuone unafanikiwa, ndiyo furaha yangu ndiyo maana nakueleza mambo kama haya ambayo kwa kawaida ni siri yangu.  Lakini kwa vile nataka nikuone unaanza kucheza mchezo huu hata kama ni kidogo itakuwa vizuri, ukirudia tena utafanya makubwa zaidi.

Sitaki kusema maneno mengi, ufuatao ni mchanganuo wa kilimo cha nyanya ninacholima mimi. Unaweza kuandaa wa kwako utakapo anza kulima.

 KILIMO CHA NYANYA
Awamu ya Kwanza: Septemba 2015
S/No      Mahitaji          Idadi/Kiasi  Gharama        Jumla
1.          Kulima shamba       Ekari 1         40,000/=
2.          Kuandaa matuta     Ekari 1         50,000/=
       Jumla ya gharama zote za kuandaa shamba 90,000/=
3.         Kununua mbegu      Packet 4       28,000/=
4.         Kuandaa kitalu cha kusia
        mbegu na kumwagilia
        mbegu                     5m           10,000/=
  Jumla ya maandalizi ya mbegu                        28,000/= 
5.         Kupanda miche shambani   Ekari 1     50,000/=
6.         Mbolea ya samadi              Trip 5         25,000/=
7.         Kununua jenereta                    1       500,000/=
8.         Kumwagilia (mafuta)         Mara 10     250,000/=
9.         Kupalilia                            Mara 2       20,000/=
   Jumla ndogo                                                    845,000/=
10.     Mbolea ya kuzalishia (CAN) Kilo 10     50,000/=
11.     Madawa ya kutibu magonjwa ya nyanya  40,000/=
12.     Kuvuna                              mara 4        100,000/=
Jumla     ndogo                                              190,000/=
JUMLA YA GHARAMA ZOTE                          1,163,000/=
Mavuno ya nyanya kwa ekari moja ikitunzwa vizuri yanaweza kufikia tani arobaini (40) sawa na madebe 2,200 ya lita ishirini. Lakini kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa, magonjwa na sababu nyingine, kiwango cha chini cha kuvuna nimeweka tani kumi na nane (18) sawa na madebe 1000 ya lita ishirini.
Debe moja la nyanya hapa Bariadi linauzwa kwa Tsh 10,000/=.  Labda kutokana na mabadiliko ya bei sokoni, bei ya chini ninayoweza kuuzia iwe Tsh 8,000/= kwa debe.
Nitavuna jumla ya madebe 1,000 na kila debe nitauza kwa Tsh 8,000/=, nitapata jumla ya Tsh milioni nane 8,000,000/=.
Jumla ya mauzo yote                      8,000,000/=
Jumla ya gharama zote                   1,163,000/=
Jumla Ya Faida nitakayopata      6,837,000/=
JUMLA YA FAIDA NITAKAYOPATA KWENYE MRADI HUU AWAMU YA KWANZA NI TSH 6,837,000/=
Huna Milioni Moja, Utafanyaje Kupata Mtaji Wa Kuanzia?
Naomba nikutoe hofu juu ya hilo, ukiangalia kwa makini kwenye jedwali la mchanganuo hapo juu, utagundua kuwa gharama nyingi nilizozitaja ni za vibarua ukitoa gharama za jenereta, kununua mbegu, mbolea ya kuzalishia na dawa za kutibu magojwa. Gharama zingine unaweza kuziepuka kama utashiriki wewe mwenyewe kwenye shughuli hiyo bila kutegemea vibarua.
Njia Nzuri Ya Kupata Shamba Na Mahitaji Mengine
Mimi wakati naamua kulima nyanya sikuwa na shamba la kulima, nilizunguka zunguka huko kijijini nafuta shamba la kulima angalau ekari moja. Haikuwa kazi rahisi wala sikufanikiwa kupata shamba kabisa. Baadaye nilimkuta mzee mmoja anashamba zuri sana lenye rutuba na liko karibu na bwawa la maji. Nikaongea na mzee huyo na kumwomba kama ataniruhusu niungane naye kulima nyanya, tuupanue mradi uwe mkubwa zaidi. Nikampa maelezo mengine mengi nikamweleza faida atakazo pata, hatimaye mzee akakubali. Kwa njia hiyo nikawa nimepata shamba  bure na mbolea ya samadi ya bure maana mzee anafuga ng’ombe. Gharama pekee ni kuisafirisha mbolea kuipeleka shambani. Kupitia ushirika huo nilioupata japo sikuwa na mwenyeji hata mmoja, sasa ninauhakika kila kitu kitaenda kama kilivyopangwa.
Njia Hii Aliitumia Rafiki Yangu Na Akafanikiwa.
Kuna rafiki yangu mmoja tumesoma naye kidato cha tano na sita pale Milambo High School, kwa sasa yuko Mwanza amehitimu chuo cha SAUTI mwaka jana. Baada ya kumaliza masomo, hakuwa ana fahamiana na mtu yeyote pale jijini Mwanza zaidi ya marafiki zake tu aliosoma nao chuoni. Siku moja akaanza kutembea mjini akitafuta fursa, akafika sehemu fulani hivi akamkuta mzee mmoja anafuga kuku wachache wa kienyeji , rafiki yangu alipowaona hao kuku alifurahi sana. Akamtafuta yule mzee akafanya nae mazungumzo ya kuupanua mradi akamwambia faida atakazo zipata baada ya mwaka mmoja. Yule mzee alifurahi kweli akamkubalia rafiki yangu, kazi ikaanza. Nakawambia mpaka sasa wanafuga kuku zaidi ya elfu nne ndani ya miezi minnne tu, na wanatarajia kuwa na kuku elfu kumi na mbili ifikapo mwezi Disemba mwaka huu.
Tumia Njia Hiyo Utafanikiwa Tu
Kama mimi nimetumia njia hiyo na nimefanikiwa, kama rafiki yangu alitumia njia hiyo na akafanikiwa na wewe tumia njia hiyo upate mahali pa kuanzia nina uhakika utafanikiwa. Kumbuka kutafuta pesa ni mchezo, cheza kwa furaha,  bila hofu moyoni mwako hakika utashinda na kufanikiwa.
Mbegu Gani Ya Nyanya Nzuri?
Baada ya kuuliza uliza watu wengi na wataalamu wa kilimo, wamenishauri nilime aina ya Mwanga.  Wanasema ina mavuno mengi na ganda lake ni gumu na inavumilia magojwa mengi. Mahali unapoishi ulizia nyanya aina gani inakubalika sokoni, utapata jibu. Mbegu zingine nilizozikuta madukani ni Tanya, Cal J, Tengeru 97, Iffa, Mkulima, Maoney maker na nyingine nyingi. Fanya utafiti wako ujue ni ipi inafaa.
Tulime Pamoja
Nachukua nafasi hii kukukaribisha uambatane nami kwenye kilimo hiki cha nyanya. Unaweza ukawa na uzoefu mkubwa wa kilimo hiki tafadhali weka maoni yako hapa chini kwenye kibox cha comment ili utusaidie na sisi ambao ndio tunaianza kazi hii au unaweza kuniandikia kupitia email yangu morningtanzaniasite@gmail.com. Pia wale watakao kuwa na maswali yoyote wanaweza kuniuliza kwa email hiyo au kwa kuandika kwenye kibox cha comment.
“Kama mimi nimetumia njia hiyo na nimefanikiwa, kama rafiki yangu alitumia njia hiyo na akafanikiwa na wewe tumia njia hiyo upate mahali pa kuanzia nina uhakika utafanikiwa”

How They Think



Back How They Think   Thousands of potential millionaires are born every year. And with the advent of e-commerce, making a million dollars is becoming more and more commonplace.   What advice did the money-makers follow?   Aristotle Onassis worked eighteen hours a day to maintain his fortune. He started as a welder and aimed for the top. "You have to think money day and night," he said, "you should even dream about it in your sleep." Do you?   John D. Rockefeller, Jr., said, "I believe in the dignity of labor, whether with head or hand; that the world owes every person an opportunity to make a living."   And J. Paul Getty acknowledged his hard work: "I have no complex about wealth. I have worked hard for my money, producing things people need."   Even Proverbs advises: "In all labor there is profit."   Richard Bach, the author of the best selling Jonathan Livingston Seagull wrote...   "You are never given a wish without also being given the power to make it true. You may have to work for it, however."   The Empress of the British Empire, Queen Victoria, admonished, "We are not interested in the possibilities of defeat." Back

JINSI YA KUFANYA MAHUSIANO YAKO KUWA BORA



Siku hizi kumekuwa na lawama nyingi kuhusiana na mahusiano ambapo kila upande umekuwa ukilaumu upande mwingine kuwa ndio chanzo cha kuvurugika kwa mahusiano yao, kibaya zaidi ni kwamba wakati mwingine upande unaokua unalalamika sana unaweza ukawa ndio upande uliochangia kwa kiasi kikubwa kuvurugika kwa uhusiano uliokuwepo
Japo kuna njia nyingi za kuboresha mahusiano kulingana na aina ya wahusika waliopo katika mahusiano, Zifuatazo ni baadhi ya njia ambazo unaweza kuzitumia kuboresha mahusiano yako.

1. Jitambue Wewe binafsi pamoja na kumtambua mwenzako
Siku zote katika maisha unatakiwa ujitambue

Jumanne, 21 Agosti 2018

UZAZI WA MPANGO


Masuala ya uzazi na malezi kwa wanawake ni jambo lililo wazi kabisa lakini kutokana na maadili baadhi wamekuwa na woga wa kujadili wazi wazi. Hata vivyo baadhi ya wanawake hawa hupenda kuzungumzia maswala haya hasa wanapo kutana ili kubadilisha mawazo na hata kujifunza zaidi.
Uwepo wa mitandao ya kijamii umesaidia sana katika kuwakutanisha wanawake kutoka maeneo mbali mbali ambapo hujadili zaidi maswala ya mahusiano

Watu 103 wakamatwa katika maandamano ya kupinga kukamatwa Bobi Wine Uganda

Maandamano yazuka Kampala kupinga kukamatwa mbunge Bobi Wine
Polisi nchini Uganda inasema imewakamata watu 103 katika maandamano yaliozuka kupinga kukamatwa kwa mbunge wa upinzani Robert Kyagulanyi au Bobi Wine pamoja na wabunge wengine kadhaana wanaharakati nchini Uganda.
Inaarifiwa pia mtu mmoja ameuawa katika purukushani hiyo.
Vikosi vya usalama nchini Uganda vilizima maandamano kwenye mji mkuu hapo jana Kampala kupinga kukamatwa kwa Bobi Wine .
Waandamanaji wamechoma mot

DANGOTE KUMALIZA UHABA WA SARUJI

Kampuni ya Saruji ya Dangote Tanzania imedhamiria kukabiliana na uhaba huo ikipanga kuzalisha zaidi ya tani 6,000 kwa siku kutoka chini ya tani 3,000 za sasa.
Kampuni hiyo imesaini mkataba wa kuuziwa gesi asilia kwa miaka 20. Kampuni hiyo inayomilikiwa na bilionea namba moja Afrika, Aliko Dangote wa Nigeria na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Kabla ya ahadi hiyo itakayoanza kutekelezwa katika

Waomba wasaidiwe umeme wa REA

WANANCHI wa Jimbo la Kondoa Mjini mkoani hapa, wamemwomba mbunge wao, Edwin Sannda awasaidie wapate umeme wa Mradi wa Nishati Vijijini (REA) unaopita katika maeneo yao ili kuboresha maisha yao.
Maombi hayo waliyatoa mwishoni mwa wiki katika mikutano ya hadhara iliyofanyika katika maeneo mbalimbali wakati wa ziara ya mbunge kukagua miradi hiyo na kuelezea namna Ilani ya CCM inavyotekelezwa. Wananchi wa mitaa ya Bolisa, Ukunku na Mulua, walimwomba mbunge wa Kondoa Mjini, Sannda kuwasaidia kupata huduma ya umeme katika mitaa yao ambayo imepitiwa na nguzo za umeme wa REA na haijapewa umeme.
Akijibu maombi hayo, mbunge huyo alisema, serikali imepanga kuhakikisha kwamba wananchi wote wanapata huduma ya umeme katika jimbo hilo. Sannda alisema, mkandarasi wa kusambaza umeme katika mitaa mbalimbali katika wilaya ya Kondoa tayari amepatikana, kinachosubiriwa sasa ni kuanza kazi baada ya kumaliza kazi katika wilaya ya Chamwino na Bahi. Sannda alisema serikali imeendelea kutenga fedha kwa ajili ya kutoa huduma hii na ndio maana inafanya kazi kwa awamu ambapo katika awamu ya kwanza kuna maeneo yalipata huduma ya umeme mengine hayakumalizika.
Alisema ilianza awamu ya pili ambayo ilikamilisha sehemu iliyobakia katika awamu ya kwanza na kuanzisha miradi mipya. Aidha aliwasihi wananchi hao kuendelea kutunza vigingi vilivyowekwa na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kama alama za kuweka nguzo kwani maeneo mengine wananchi wamekuwa wakiviharibu na kuwapa kazi wakandarasi wanapoanza kazi. Sannda aliwataka wananchi kuendelea kufanya maandalizi ya kusuka nyaya za umeme katika nyumba zao na kuajiandaa kuweka fedha za kulipia huduma ya kuingiza umeme katika nyumba zao.
Ziara ya Sannda ilifanyika katika kata zote nane za Halmashauri ya Mji Kondoa ambapo alifanya ukaguzi wa miradi mbalimbali na kufanya mikutano ya hadhara na wananchi wa maeneo hayo. Katika mikutano hiyo ya hadhara, wananchi walipata fursa ya kuuliza maswali ya utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa kipindi cha miaka miwili. Katika ziara hiyo pia aliongozana na viongozi mbalimbali wa CCM katika Wilaya ya Kondoa na wataalamu mbalimbali kutoka katika Halmashauri ya Mji Kondoa.

Kongamano la Diaspora Pemba 2018 limetia fora

Jumanne, 14 Agosti 2018

Mcheza filam wa Tanzania Monalisa atoa wito kwa wawekezaji kutupia jicho filam za Bongo.

Monalisa
Mcheza filam maarufu wa Tanzania aliyeshinda tuzo ya filam ya mwigizaji bora wa kike huko Ghana Aprili mwaka huu katika tuzo za African Prestigous Awards Yvonne Cherrie au maarufu kama Monalisa anasema alivutiwa na mama yake kuingia katika filam nchini humo.
Alipotembelea Jukwaa la Vijana la VOA ameeleza changamoto za wacheza filam nchini humo si sawa na zile za wanamuziki. Kwasababu inachukua watu wengi na gharama kubwa .
Na faida ipo lakini akiongeza si ile wanayotarajia akisema kwa Tanzania bado lakini anaamini watafika kwani bado sekta hiyo ni changa.
Ametoa wito kwa wawekezaji kwenda kuwekeza kwenye sekta ya filam nchini humo, kwasababu anaamini watranzania wanapenda kazi zao na kuna nafasi kubwa ya maendeleo katika sekta hiyo.
Tuzo alizopata anasema zina maana kubwa sana kwake na alipopata tuzo yake ya kwanza ya ZIFF alitoa machozi na ni fahari kubwa kwake hali kadhalika tuzo aliyoipata Ghana.
Amewataka wanawake kujiamini na kuwekeza nguvu na akili katika kile wanachotaka kufanya na wasiskilize kelele za nje bila kusahau kumshirikisha Mungu katika maisha aliongeza.

Jumatatu, 6 Agosti 2018

Mtanzania asherehekea miaka 100 ndani ya ndege ya Dreamliner

Mzee Kimweri Dafa na mwanawe Wakili Imam Dafa ndani ya ndege
Mzee wa miaka 100 amesherehekea kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa kwa kusafiri na ndege kwa mara ya kwanza, kama zawadi aliyopewa na mtoto wake.
Akizungumza na BBC ndani ya ndege, huku jicho akilitupa dirishani mara kwa mara kupata mandhari nzuri ya anga, kwa sauti ya utulivu bila ya woga, mzee Kimweri Dafa Kivo amesema anasikia furaha kutokana na kuwa ni mara yake ya kwanza.
Isitoshe, amekuwa miongoni mwa Watanzania wa mwanzo mwanzo walioabiri ndege mpya iliyonunuliwa na serikali ya Tanzania kwa ajili ya kuliimarisha Shirika la Ndege la Taifa (ATCL) na kupokelewa mwezi uliopita.
''Mwanangu namshukuru sana kwa sababu aameweza kunipandisha kwenye ndege, nimefurahi sana..'' amesisitiza mzee Kimweri.

Akizungumzia zawadi aliyompa baba yake mtoto wa mzee Kimweri, Imam Dafa anasema ilimchukua muda kufikiria juu ya nini cha kumpa baba yake.   ''Nilikuwa nafikiria kwa kumshukuru Mungu na kumpa baba zawadi kwa kufikia umri huo nifanye nini, nilifikiria sana, basi nikaona nimpe baba zawadi ya kupanda ndege kwa mara ya kwanza akiwa na umri wa miaka 100...'' alisema Imam.


Mzee Dafa na Marubani wa ndege  

Venezuela yailaumu Marekani jaribio la kuuwawa Maduro

Waziri wa Mambo ya Ndani na Sheria wa Venezuela's Nestor Reverol akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari baada ya jaribio la kumuuwa rais huko mjini Caracas, Venezuela Agosti 5, 2018.


Rais wa Venezuela Nicolas Maduro amesema kwamba anaamini kuwa Marekani na Colombia ndio waliohusika na jaribio la kumuuwa lililotokea mwisho mwa wiki.
Mshauri wa usalama wa taifa nchini Marekani John Bolton hata hivyo amekanusha madai ya Marekani kuhusika katika jaribio hilo.
Katika hotuba iliyopeperushwa moja kwa moja na vituo vya televisheni nchini Venezuela, Rais Maduro amesema kwamba kila ishara inaonyesha kwamba ni jirani wa Venezuela, Colombia, ndio mhusika mkuu wa jaribio hilo la kumuua na kuongezea kwamba Mungu, watu wa Venezuela na wanajeshi wake ndio waliomuokoa.
"Hiyo ndege yenye mabomu ilikuwa imenilenga mimi lakini kinga ya upendo iliniokoa. najua nitaishi miaka mingi zaidi," amesema Maduro.
Ndege yenye vilipuzi na isiyoruka na rubani, vililipuka majira ya saa kumi na moja dakika 41 Jumamosi jioni, wakati Maduro alipokuwa akihutubia umati wa maelfu ya wanajeshi katika uwanja wa mji mkuu wa Caracas.
Kwa mujibu wa shirika la habari la Ufaransa la AFP, Rais Maduro hakupata majeraha yoyote lakini wanajeshi saba walijeruhiwa.
Maduro amesema kwamba hana shaka kwamba Rais wa Colombia Juan Manuel Santos, anahusika na shambulizi hilo.
Shirika la habari la AFP linamnukuu afisa wa serikali ya Colombia akisema kwamba shutuma hizo dhidi ya Rais Santos "hazina msingi wowote"
Maduro amesema kuwa uchunguzi wa awali "unaonyesha kwamba wanaofadhili watu wanaotaka kumuuwa wanaishi katika jimbo la Florida nchini Marekani. "Ni matumaini yangu kwamba rais Donald Trump yupo tayari kupigana na hawa magaidi"
Kiongozi huyo wa Venezuela amesema kwamba watu kadhaa wanaopanga njama ya kumuua wamekamatwa, lakini hakutoa taarifa zaidi.
shambulizi lilitokea wakati Maduro alikuwa akizungumzia kuhusu uchumi wa Venezuela. video zinaonyesha Maduro na wengine wakiwa wameduwaa baada ya sauti ya milipuko mikubwa kadhaa kusikika. mda mfupi baadaye, video inaonyesha wanajeshi wakitafuta mahali pa kujikinga.
nchi ya Venezuela imekumbwa na mgogoro wa kisiasa kwa muda mrefu. Licha ya kuwa na utajiri mkubwa wa mafuta, uchumi wa nchi ya Venezuela umeporomoka, mfumuko wa bei ukikaribia kufika asilimia mia mojamwaka 2018, huku nchi hiyo ikikumbwa na mgogoro mkubwa wa kibinadamu pamoja na uhaba mkubwa wa bidhaa muhimu.
Katika siku za hivi karibuni, maelfu ya raia wa Venezuela wamelazimika kukimbilia nchi jirani kutokana na hali ngumu ya maisha nchini mwao.
Maduro alichaguliwa kuwa rais wa Venezuela mnamo mwezi Mei 2018 kutawala kwa mhula wa miaka sita katika uchaguzi ambao wanasiasa wa upinzani na waangalizi wa kimataifa walikataa matokeo yake, kwa msingi kwamba ulikumbwa na udanganyifu katika zoezi la kuhesabu kura.


.
Makundi yanayo hasimiana nchini Sudan Kusini yamesaini mkataba wa amani unaounda serikali ya kitaifa Jumapili, katika juhudi za kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa miaka 5 na kusababisha vifo vya maelfu ya watu na mamilioni kukimbilia nchi jirani.
Kwa mujibu wa shirika la habari la Sudan, SUNA, Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na kiingozi wa waasi, aliyekuwa makamu wake Riek Machar wamesaini mkataba wa amani katika mjii wa Khartoum, Sudan.
Muundo mpya wa serikali
Chini ya mkataba huo, Salva kiir atasalia kuwa rais, na Riek Machar kurudi nyumbani na kuwa makamu wa rais wa kwanza, huku nafasi tano za makamu wa rais zikiundwa.

Kutakuwepo serikali ya mpito ya miezi 8 itakayoongozwa na Salva Kiir, na baadaye serikali ya mpito ya miaka 3.

Kutokana na mkataba huo, serikali itakuwa na mawaziri 20 kutoka kwa chama cha Kiir, tisa kutoka chama cha Machar na sita kutoka makundi mengine.

Hii ndio hatua ya hivi karibuni kati ya hatua kadhaa zilizowahi kuchukuliwa kuleta amani nchini Sudan kusini tangu mwaka wa 2013.

Mkataba wa amani wa 2016
Mkataba wa amani ulivunjika July 2016 wakati mapigano yalipozuka katika mji wa Juba na kupelekea Machar kutoroka nchini kwa kupitia njia za vichakani.

Tangu mda huo, amekuwa chini ya kifungo cha nyumbani nchini Afrika kusini.

Serikali ya Sudan Kusini inasisitiza kwamba mara hii, mambo yatakuwa tofauti kati ya viongozi hao wawili na kwamba Machar amejifunza "kupitia hali ngumu" na kwamba ameahidi kushirikiana na Kiir kwa sababu hataki kurudi nchini Afrika kusini.

Katika kikao na waandishi wa habari, msemaji wa serikali ya Sudan kusini Michael Makuei amesema kwamba wapiganaji wa Salva Kiir watapewa mafunzo na kujiunga na jeshi la taifa.

Mkataba huo ni hatari?
Mchambuzi wa siasa za Sudan Kusini Alan Boswell ametaja mkataba huo kuwa hatari.

"Mnamo mwaka 2013, Riek alitaka kuchukua nafasi ya Kiir lakini Kiir alijibu kwa nguvu zote na kumfukuza serikalini. Mwaka 2016, hali ilikuwa hivyo hivyo. Matokeo hayo mawili yalisababisha vita vikubwa. Mkataba huu wa amani, unaeka mazingira yale yale ya mwaka 2013 na 2016," amesema Allan akiongezea kwamba "mkataba unapovunjika, unavunjika vibaya sana".

Mikataba ya amani umesainiwa katika siku za hivi karibuni lakini imevunjika ndani ya masaa machache baada ya kusainiwa.

Jumuiya ya Kimataifa
Uvumilivu wa jumuiya ya kimataifa umekuwa ukitoweka, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa likiiwekea Sudan Kusini vikwazo vya silaha.

Mnamo mwezi July, bunge la Sudan Kusini liliongeza muda wa serikali hadi mwaka 2021, hatua ambayo iliwakasirisha wanasiasa wa upinzani waliosema kwamba serikali ilikuwa katika mchezo kwenye meza ya mazungumzo ya kuleta amani ya kudumu.

Raia wa Sudan Kusini
Raia wa Sudan Kusini wanasema kwamba wamechoka na maisha ya vita na wanataka hali ya utulivu.

"Kwa kweli tunataka amani kwa sababu tumechoka na vita" amesema Santino Deng, mkaazi wa mji wa Juba.

Hata hivyo baadhi ya makundi ya kutetea haki za kibinadamu yamesifia mkataba wa amani uliofiikiwa hivi sasa, lakini yakaonya kwamba ni hatua ya mwanzo tu.

" Ili kuzuia vita kuzuka tena, mkataba huo unastahili kuhakikisha kwamba mamlaka mengi hayasalii katika mikono ya watu wachache," amesema Brian Adeba, naibu wa mkurugenzi wa shirika la sera - enough project- lenye makao makuu jijini Washington.
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir asaini mkataba wa serikali ya kitaifa uliozileta pamoja pande hasimu nchini humo, Agosti 5 2018, in Khartoum.    

Jumapili, 22 Oktoba 2017

Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Mtenga wilayani Nkasi, Leonard Mwipugi (29) amejiua kwa kujichinja koromeo akiwa nyumbani kwake.

Taarifa zilizotolewa na Mratibu wa Elimu Kata ya Mtenga, Hebron Mwafungo zimeeleza kuwa mwalimu huyo amekutwa akiwa amekufa baada ya kujichinja nyumbani kwake muda wa saa sita mchana leo Jumamosi.

Amesema kuwa mwalimu huyo alikwenda kazini kwake na saa 5 asubuhi alirejea nyumbani na hakumkuta mkewe na baada ya muda walipata taarifa kuwa mwalimu huyo amekutwa amekufa baada ya kujichinja koromeo chumbani kwake.

Amesema kuwa mwalimu huyo alikua akiishi na mdogo wake nyumbani hapo na alipofika alimtuma mdogo wake mbali kidogo ya nyumba hiyo na baada ya kurudi aliona damu na baada ya kuchungulia chumbani alikuta kaka yake amefariki dunia kwa kujichinja koromeo na kutoa taarifa kwenye uongozi wa kijiji hicho.

Jumatatu, 8 Agosti 2016

Taking a Life Audit: Five Steps to Prioritising What’s Important

yoga


Sometimes it’s difficult to get a clear view of exactly what your priorities are. Often, as we deal with various demands on our energy and time. True life goals fall by the wayside and smaller concerns take up all of our attention. Modern life is so fast-paced and demanding that we can find ourselves getting bogged down in the inconsequential—things that if only we were to take a step back, we would realize aren’t that important to us.

This can result in you not spending enough time with your friends, family and loved ones, dealing with huge amounts of stress from things that ultimately aren’t that significant, and forgetting what it is that you truly want in life. There’s always something to grab our attention, and the information overload that comes with living in the 21st Century can be at best confusing, and at worst—a source of strain and unhappiness. Sometimes it’s important to step back, clear out, and take a life audit. This way you can chuck out the junk, recognize what’s important to you, rediscover your ambitions, and identify what you want to improve.

1. Find a Habit that Clears your Mind
Whether it’s going out for a jog, taking up yoga, or sitting in quiet meditation, finding a way to clear your mind will prepare you to think seriously about your life. When we rush from one task to the next, our brains are so busy that we are focused entirely on immediate demands and future worries, making it difficult to think about things critically. By taking up a habit that quietens

Saying No As Much As Yes To Enjoy Life More

 saying no
Most of us, women in particular, have a hard time saying no. We don’t want to disappoint anyone, especially not the people we love. As a result, we end up putting everyone else’s needs ahead of our own.
When put on the spot, we feel like we have to give an answer immediately. We get flustered and end up saying ‘yes’ when we really shouldn’t. This leads to us cancelling at the last moment and then having to deal with the inevitable guilt that follows.

Saying ‘no’ isn’t easy

say no
Living abroad is amazing. The only downside is that you miss your friends and family back home. A lot. Opening a Cape Town office provided the perfect solution. It made good business sense and we were going to do it anyway, but at least now I’d have a bona fide excuse to go home and I’d get to see the people I love more often.

I’d have to work too, but since I love what I do I didn’t see