Tabora New Hope Agency

Is aiming to improve the standard of living of the people in a community by planning on the utilization of the available resources and guiding on the implementation of the plans to achieve the best social services in Tanzania.

Tabora New Hope Agency

Is aiming to improve the standard of living of the people in a community by planning on the utilization of the available resources and guiding on the implementation of the plans to achieve the best social services in Tanzania.

Tabora New Hope Agency

Is aiming to improve the standard of living of the people in a community by planning on the utilization of the available resources and guiding on the implementation of the plans to achieve the best social services in Tanzania.

Tabora New Hope Agency

Is aiming to improve the standard of living of the people in a community by planning on the utilization of the available resources and guiding on the implementation of the plans to achieve the best social services Tanzania.

Tabora New Hope Agency

Is aiming to improve the standard of living of the people in a community by planning on the utilization of the available resources and guiding on the implementation of the plans to achieve the best social services Tanzania.

Jumatatu, 8 Agosti 2016

Taking a Life Audit: Five Steps to Prioritising What’s Important

yoga


Sometimes it’s difficult to get a clear view of exactly what your priorities are. Often, as we deal with various demands on our energy and time. True life goals fall by the wayside and smaller concerns take up all of our attention. Modern life is so fast-paced and demanding that we can find ourselves getting bogged down in the inconsequential—things that if only we were to take a step back, we would realize aren’t that important to us.

This can result in you not spending enough time with your friends, family and loved ones, dealing with huge amounts of stress from things that ultimately aren’t that significant, and forgetting what it is that you truly want in life. There’s always something to grab our attention, and the information overload that comes with living in the 21st Century can be at best confusing, and at worst—a source of strain and unhappiness. Sometimes it’s important to step back, clear out, and take a life audit. This way you can chuck out the junk, recognize what’s important to you, rediscover your ambitions, and identify what you want to improve.

1. Find a Habit that Clears your Mind
Whether it’s going out for a jog, taking up yoga, or sitting in quiet meditation, finding a way to clear your mind will prepare you to think seriously about your life. When we rush from one task to the next, our brains are so busy that we are focused entirely on immediate demands and future worries, making it difficult to think about things critically. By taking up a habit that quietens

Saying No As Much As Yes To Enjoy Life More

 saying no
Most of us, women in particular, have a hard time saying no. We don’t want to disappoint anyone, especially not the people we love. As a result, we end up putting everyone else’s needs ahead of our own.
When put on the spot, we feel like we have to give an answer immediately. We get flustered and end up saying ‘yes’ when we really shouldn’t. This leads to us cancelling at the last moment and then having to deal with the inevitable guilt that follows.

Saying ‘no’ isn’t easy

say no
Living abroad is amazing. The only downside is that you miss your friends and family back home. A lot. Opening a Cape Town office provided the perfect solution. It made good business sense and we were going to do it anyway, but at least now I’d have a bona fide excuse to go home and I’d get to see the people I love more often.

I’d have to work too, but since I love what I do I didn’t see

Five Reasons Women Dig Sober Dudes

sober guys

Do women find sloppy, stumbling-around drunk dudes attractive? I used to think so, especially when the average bar star pulls more tail than the overly serious, super religious guy. You know, the guy who is always talking about his Alcoholics Anonymous meetings or how he can’t do this or that because he’s afraid he’ll relapse.
But, as a recovering addict in sobriety for six years, I’m here to tell you that plenty of guys are changing the face of what it means to be sober. We are defying stereotypes. We are not boring, we don’t obsess about living sober, and we lead healthy adventurous lives that are just as diverse as guys who get drunk on a regular basis.
Sobriety is getting a whole lot more attention these days and women find it sexier than ever. How would I know? Because I’m the guy now who pulls more tail than that average bar star.
While he’s busy picking fights and grabbing booties on the dance floor, us sober guys are sealing the deal. It takes a great deal of confidence to approach an attractive female

Falsafa Ya "Mbio Za Sakafuni Huishia Ukingoni"...


"Mbio za sakafuni huishia ukingoni", huu ni usemi wa wahenga ambao una ukweli halisi. Kwa sababu kila sakafu ina ukingo, unapokimbia kwenye sakafu ukifika kwenye ukingo wa sakafu mbio zimeishia pale.

Maisha yetu ni mbio za sakafuni, kwa sababu kila mmoja wetu anajua kwamba hatoishi milele, siku moja wote tutakufa, na wala siyo mbali kama tunavyofikiri. Miaka 100 ijayo wote tunaosoma hapa sasa hivi tutakuwa tumeshakufa, mbio zetu zitakuwa zimefika ukingo wa sakafu yake.

Sasa swali moja muhimu sana kujiuliza ni je mbio za sakafu yetu zitaishia kwenye ukingo wa sakafu au zitaendelea? Hili ndiyo tutakalojadili kwenye makala yetu ya leo ya falsafa mpya ya maisha.

Habari za leo mwanafalsafa mwenzangu?
Ni imani yangu kwamba uko vizuri na una

Magazeti Ya Tanzania Na Nje Leo Jumatatu ya Agosti 8, 2016

Jumapili, 7 Agosti 2016

Wazazi Wamuua Mtoto Wao Kwa Kipigo

MWANAFUNZI aliyekuwa akisoma Darasa la Saba katika Shule ya Msingi Zimba, Bonde la Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga, Susana Kauzeni (15) ameuawa baada ya kupigwa na wazazi wake wakimtuhumu kuwa ni mtoro sugu wa shule.

Ofisa Elimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga (Shule za Msingi), Peter Fusi amesema kuwa mwanafunzi huyo alizikwa kijijini humo Julai 23, mwaka huu.

“Baba na mama yake walichangia kumpiga binti yao huyo wakimtuhumu kuwa ni mtoro sugu wa shule pia nyumbani

Serikali Yatangaza Mwongozo Mpya wa Elimu Kuwa Masomo ya Sayansi ni Lazima Yasomwe Na Wanafunzi Wote


SERIKALI imetangaza mwongozo mpya kuwa kuanzia sasa masomo ya sayansi ni lazima kusomwa na wanafunzi wote wanaosoma elimu ya sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne. 
Kwa mujibu wa Sera ya Elimu iliyopo, wanafunzi wanaosoma elimu ya sekondari wanaweza kuchagua aina ya masomo watakayo wafikapo kidato cha tatu na kuacha mengine.

Uamuzi huo ulitangazwa jana mjini Tanga  na Waziri wa Elimu, Teknolojia, Sayansi na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako wakati akizungumza na mamia ya walimu wa elimu ya msingi kwenye

Sakata la Oparesheni UKUTA Lailazimu Tume ya Haki na Utawala Bora Kuandaa kikao cha pamoja kati ya Chadema, CCM na Jeshi la Polisi


Tume ya Haki na Utawala Bora imeandaa kikao cha pamoja kati ya Chadema, CCM, Jeshi la Polisi na taasisi nyingine tatu, wakati joto la Operesheni Ukuta likizidi kupanda kwa viongozi wa Serikali na vyama vya siasa kutoa kauli zinazotofautiana. 

Chadema imetangaza kufanya mikutano nchi nzima kuanzia Septemba Mosi katika operesheni iliyobatizwa jina la Umoja wa Kupinga Udikteta Tanzania (Ukuta), ikidai Serikali ya Awamu ya Tano inakandamiza haki na demokrasia nchini. 
Kabla ya kikao hicho, viongozi wa upinzani wamekuwa wakisisitiza umuhimu wa kuwapo maridhiano katika suala hilo pamoja na Ukawa kususia vikao vya Bunge vinavyoongozwa na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson, lakini kumekuwa hakuna harakati zozote zaidi ya majibizano. 
Hali hiyo ilizidi baada ya Chadema kutangaza operesheni hiyo ambayo imesababisha viongozi wa Serikali, hasa

Maisha Ni Zaidi Ya Kuwa Msomi. Jiongeze!!!



UNALETA USOMI MTAANI? UTAKUFA MASIKINI..!!
Ukichunguza katika jamii, utabaini kuwa sehemu kubwa ya matajiri ni wale ambao wana elimu ndogo ama hawakusoma kabisa. Katika miji na maeneo yote; wenye majengo ya maana, wenye makampuni makubwa, wenye utitiri wa malori na mabasi, wenye maduka makubwa ni wale wa "darasa la saba” au wale ambao hawakuingia darasani kabisa.

Wasomi wengi wana maisha ya kawaida yaani yale ya kiwango cha kubadilisha mboga, wakijitahidi sana wanaishia kujenga nyumba za kuishi na magari mawili ya kutembelea (tena kwa mikopo!). Wapo wasomi wengi tu wanaoishi kimasikini, kwa lugha ya kistaarabu tunasema wana maisha ya kuungaunga. Kiukweli idadi ya wasomi walio matajiri ni ndogo sana.

Lakini Umasikini wa wasomi wengi umeanzia huko shuleni na vyuoni wanakopatia usomi wao. Madarasani kuna mambo mawili wanafundishwa wasomi

VYAKULA VINAVYOONGEZA NGUVU ZA KIUME


Makala hii ni maalumu kwa ajili ya wanandoa tu na si vinginevyo au kama elimu kwa wanandoa watarajiwa. Muogope Mungu uzinzi ni dhambi kubwa sana.

Katika kilele cha mwisho kabisa cha furaha katika maisha ya ndoa, kama inavyofahamika, ni sherehe inayopatikana katika tendo lenyewe la ndoa. Hata hivyo, ili furaha ipatikane ni lazima tendo lenyewe lifanyike katika hali ya afya kwa wanandoa.

Nguvu za kiume ni istilahi inayotumika mara nyingi kurejelea ‘uwezo wa mwanaume kufanya tendo la ndoa’. Na inapokuwa kinyume chake, tunasema ni ‘kupungua au kukosa nguvu za kiume’. Kupungukiwa kwa nguvu za kiume hutofautiana. Inaweza kuwa ni kujumuisha hali ya kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume, au hali ya kutokuwa na uwezo wa kufika kileleni kwa muda mzuri wa kutosha.

Licha ya hivyo, elimu mhimu kabisa ambayo mwanaume anapaswa kuifahamu ni kuwa, nguvu hizi hazitoki katika madawa ya kemikali au pahala pengine; zinatoka katika vyakula tu.
Vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume

1. Kitunguu swaumu
Chukuwa punje 8 mpaka 10 za kitunguu swaumu, menya na uzikate vipande vidogo vidogo kisha meza na maji vikombe 2 kutwa mara 2 kwa mwezi mmoja. Pia haki

HASARA ZA KUJIPENDEKEZA.


1. Hauwezi kumkemea huyo unayejipendekeza kwake hata kama anakosea.
2. Unakuwa Mtumwa kwa huyo unayejipendekeza kwake.
3. Unaifanya akili yako ishindwe kuzalisha  matunda maana Unakuwa Tegemezi kwa huyo unayejipendekeza kwake.
4. Utajikuta unakosana NA watu hasa wakimkosoa huyo unayejipendekeza kwake. Maana huntokubali akosolewe mbele yako.
5.Inakufanya kuwa mnafiki  ,Maana hata wewe kwenye uvungu wa moyo wako kuna vitu unaviona havipo sawa lakini  "UNAMEZEA TU " Kulinda kufukuzwa.
6. Inakuharibu kisaikolojia ,hasa pale ambapo  Hautapata kile Ulichokitegemea kwa Huyo unayejipendekeza kwake.
7.Inakufanya Uyanyonge MAONO uliyonayo kwa mikono yako mwenyewe, maana Muda mwingi unatafuta Jinsi ya kumpendeza  Huyo unayejipendekeza kwake. Badala ya kuwekeza Muda wako kwenye MAONO  Binafsi.
8.Kunakufanya Huyo  Unayejipendekeza kwake  awe

Ijumaa, 5 Agosti 2016

Ushuhuda: Nilimlisha Mume Wa Mtu Limbwata La Nyama Ya Bundi.

USHUHUDA  WA   THEOFLIDA  WA  YESU : NILIMLISHA  MUME  WA  MTU, LIMBWATA  LA  NYAMA  YA  BUNDI.

Nawasalimu  wa  jina  la  YESU,  jina  kuu  kupita  majina  yote. Jina  langu  ninaitwa  Theoflida , ni mwanamke  mwenye  umri wa  miaka  38  mkaazi  wa    Mbezi  ya  Kimara  jijini  Dar  Es  Salaam, japo kiasili  ni  mwenyeji  wa  wilaya  ya  Ulanga, mkoani  Morogoro..

Nime amua  kuandika  waraka  huu  kwa  madhumuni  makuu  mawili, kwanza  ni  kushuhudia  MATENDO  MAKUU  ambayo  YESU  AMENITENDEA  na  pili, ni  kuwa  hasa  wanawake  wenzangu  kutojihusisha  kabisa  na   masuala  ya  WAGANGA  WA  KIENYEJI  kwa  sababu  waganga  wa  kienyeji ni  MAWAKALA  WA  KAZI  ZA  SHETANI  HAPA  DUNIANI  na   ni  MASHETANI  KABISA!...

Nitaanza  kwa  kuelezea  kisa  kilicho  nipelekea  kuingia  kichwa  kichwa  kwenye  mikono  ya  wakala  wa  shetani..

Nilikuwa  nimepanga  chumba  kimoja  maeneo  ya  Tabata  Mawenzi  huku  nikijihusisha  na  biashara  ya  genge.  Jirani  na  nyumba  niliyokuwa  nimepanga, aliishi   mwanaume  mmoja  na  mke  wake. Mwanaume  huyu  jina  lake  linaanzia  na  herufi  K  hivyo  katika  maelezo  yangu  nitakuwa  nikimtaja  kwa  herufi  K.

K  alikuwa  ni  mwanaume  mwenye  mafanikio  makubwa  katika  maisha  mwenye  kazi  nzuri.   Alikuwa  na 

Magazeti Ya Tanzania, Leo Ijumaa ya August 5, 2016