Mkenya Auawa na Polisi Kwa Kipigo .....Walikuwa Katika Maandamano Kutaka Tume ya Uchaguzi Iundwe Upya
Kijana mfuasi wa muungano wa upinzani nchini Kenya(CORD), Ben Ngari
aliyeshambuliwa kinyama na polisi jana amefariki dunia kwa sababu ya
majeraha yaliyompata
Wafuasi wa CORD jana waliandamana kushinikiza kuundwa upya kwa Tume ya Uchaguzi (IEBC)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni